
Mwanaharakati wa hizb ut tahrir afrika mashariki Kaema Juma akiwa mjini mtwara alipokuwa kwenye ziara na akapata fursa ya kufanya semina ya misingi ya habari na uislamu kwa wanahabari wa kiislamu waliopo mji huo. Alikutana nao Masjid al Huda. Aliwasilisha mada na kupata nafasi ya kuulizwa maswali na wahudhuriaji wa semina hiyo
No comments:
Post a Comment